Obama amemtaja Mandela kama kielelezo cha jinsi gani watu wanaweza kufikia mabadiliko kwa kupigana kwa ajili ya maadili yao na kujenga hoja na sababu kufikia kujitoa kwao.
Obama amesema kuwa ni vigumu kumsifia mtu yeyote , lakini ni vigumu zaidi kufanya hivyo hasa kwa mkongwe wa historia , ambaye amelifikisha taifa katika haki,na mtu aliyemfanya yeye ashawishike kuingia katika siasa, Nelson Mandela.
Aidha rais Obama amesema kuwa kifo cha Mandela kikumbukwe kwa kipindi cha maombolezo lakini pia kikumbukwe kwa kipindi cha kuhamasisha wakati watu wakitazama jinsi gani wanaweza kubadilisha maisha yao.
Rais Obama amefuatana na marais watatu wa zamani wa Marekani Jimmy Carter, George W. Bush na Bill Clinton,katika shughuli hiyo maalum.
Mandela anatarajia kuzikwa Jumapili Disemba 15 kijijini kwake Qunu.
Obama amesema kuwa ni vigumu kumsifia mtu yeyote , lakini ni vigumu zaidi kufanya hivyo hasa kwa mkongwe wa historia , ambaye amelifikisha taifa katika haki,na mtu aliyemfanya yeye ashawishike kuingia katika siasa, Nelson Mandela.
Aidha rais Obama amesema kuwa kifo cha Mandela kikumbukwe kwa kipindi cha maombolezo lakini pia kikumbukwe kwa kipindi cha kuhamasisha wakati watu wakitazama jinsi gani wanaweza kubadilisha maisha yao.
Rais Obama amefuatana na marais watatu wa zamani wa Marekani Jimmy Carter, George W. Bush na Bill Clinton,katika shughuli hiyo maalum.
Mandela anatarajia kuzikwa Jumapili Disemba 15 kijijini kwake Qunu.
No comments:
Post a Comment