Wednesday, December 11, 2013

HUYU NDIYE MGANGA WA KIENYEJI ALIYEFUMANIWA NA MKE WA MTU GUEST , AJITETEA KUWA MIZIMU ILIMTUMA KUFANYA HIVYO ILI MTEJA WAKE APONE!

Mganga wa Kienyeji kushoto  aliyefahamika kwa jina la Dokta Mohamed Simba  “King Lion” akilazimishwa kumshika mkono begani mke wa mtu aitwae 
Shamila Hawazi Mponda mara baada ya kufumaniwa
 Wananchi mbalimbali wakiwa nje ya Guest ya Best iliyopo Ubungo Maziwa wakishuhudia fumanizi hilo...!!!

Watuhumiwa wakipakizwa kwenye Deffender ya Polisi  kuelekea kituo cha Polisi Magomeni.

No comments:

Post a Comment