Saturday, December 14, 2013

SASA HAYA MAPENZI NI HATARI SANA: TUKIO KATIKA PICHA: UGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA


Mwenyekiti wa mtaa wa pangani
 kata ya Makorongoni mjini
 Iringa Salum Kibaya  akiutazama 
mwili wa mtoto Raymond Ben
 Mangungu (2)  aliyeuwawa kwa
 kukabwa  shingo  na baba wa 
kambo wakati wa ugomvi wa 
kimapenzi kati ya mwanaume
  huyo na mama wa mtoto  huyo  usiku wa leo
Askari  polisi akitazama mwili wa mtoto  huyo
hali  ilivyokutwa ndani ya chumba  hicho  baada ya  tukio
Wananchi  wa Makorongini 
 wakimtazama  mwanamke huyo 
wakati akihojiwa na kaka wa
 mtuhumiwa wa mauwaji  hayo
Mama  wa mtoto Raymond 
katikati  akimsimulia shemeji  
yake jinsi ambavyo mpenzi  wake
  alivyoua mtoto ,kushoto ni 
mama mzazi wa mwanamke  huyo
Huyu  ndie mzazi wa mtoto 
aliyeuwawa  Bi Kudra Kahemela (23)
Mama  wa mtoto aliyeuwawa 
Kudra kahemela kushoto akiwa na 
mama  yake  mzazi katikati na dadake  kulia
Mmoja kati ya askari wa kike  
kulia akimsaidia kumfunga kanga mama wa mtoto Raymond
Wanawake wa mtaa wa Pangani 
Iringa  wakiuhifadhi mwili wa 
mtoto Raymond leo
Polisi Iringa  wakiutoka  mwili 
wa mtoto Raymond leo
umati  wa wananchi  waliofika
 kushuhudia tukio  hilo leo

No comments:

Post a Comment