Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanaongoza kwa kusinzia bungeni. Nitatoa ushahidi wa picha. Swali ni kwa nini? Je, ni kwa sababu wamebweteka na wingi wao bungeni? Je, wamesahau kuwa wametumwa kuwakilisha wananchi wao kuwasemea mambo yanayowasibu ili kuwaletea maendeleo? Au wamechoka na wamelewa madaraka? Ni kwa nini hasa?

Ushahidi wa picha mojawapo, ntaleta zingine kama mtahitaji zaidi
Click image for larger version. 

Name: wasira chapa usingizi.jpg 
Views: 0 
Size: 60.4 KB 
ID: 125085Click image for larger version. 

Name: komba akichapa usingizi bungeni.jpg 
Views: 0 
Size: 8.6 KB 
ID: 125244