Maeneo ya Ramadi na Fallujah, magharibi mwa Baghdad, yamedhibitiwa na wanamgambo kwa siku kadhaa kama ilivyotokea miaka ya 2003 baada ya Majeshi ya marekani kuvamia maeneo hayo yakiwa ngome kuu za wanamgambo hao.
Mapigano yalianza huko ramadi baada ya majeshi ya usalama kuziondoa kambi za waandamanaji zilizofunguliwa baada ya kuanza kwa maandamano mwishoni mwa 2012 dhidi ya kile ambacho wasuni wanadai kuwa ni kulengwa kwa jamii yao.
Hasira dhidi ya serikali inayoongozwa na waShia miongoni mwa wasuni ilionekana kuwa kichocheo cha vurugu zilizoikabili iraq kwa takribani miaka 5.
Mapigano yalianza huko ramadi baada ya majeshi ya usalama kuziondoa kambi za waandamanaji zilizofunguliwa baada ya kuanza kwa maandamano mwishoni mwa 2012 dhidi ya kile ambacho wasuni wanadai kuwa ni kulengwa kwa jamii yao.
Hasira dhidi ya serikali inayoongozwa na waShia miongoni mwa wasuni ilionekana kuwa kichocheo cha vurugu zilizoikabili iraq kwa takribani miaka 5.
No comments:
Post a Comment