AADA YA MAINDA KUTANGAZA KUOKOKA NA KUMRUDIA MUNGU, HUYU NDO MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE ALIYETANGAZA KUOKOKA
![]() |
Salome Ndumbagwe Mesayo ‘Thea’. |
![]() |
Ruth Suka ‘Mainda’. |
“Sisi tumempokea Yesu, tunawasihi wasanii wenzetu waachane na ushirikina waje huku ambako kuna njia salama, hili ni kongamano ambalo lina mafunzo mema na lina uwezo wa kumbadili mtu kutoka kwenye roho ya kishetani na kuwa na roho safi,” alisema Thea....
CREDIT : GPL
source bongo clan
No comments:
Post a Comment