MAJANGA: BARABARA HATA MWEZI HAUJAISHA YAANZA KUWEKWA VIRAKA VYA SARUJI JIJINI MBEYA
| Barabara kuu ya itokayo katikati ya jiji la Mbeya kwenda Mbalizi kupitia Mabatini Meta imeanza kuharibika mapema toka lami iwekwe takribani mwezi mmoja uliyopita hii ndiyo halisi ya barabara hiyo |
| kweli hii barabara itamaliza mwei huu? |
| Wahusika mpoooo |
| Tayari baadhi ya maeneo ya barabara hiyo mashimo yameanza kuzibwa na tope la saruji |
| Picha yenyewe inajieleza je hii ni halali? |
No comments:
Post a Comment